Alicho andika NAPE NAWIE baada ya taarifa kutoka ikulu
Alichokiandika Nape Nnauye baada ya taarifa kutoka ikulu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuliamefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.
Aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ameandika kupitia account yake ya Twitter ‘Ndugu zangu naomba TUTULIE! LEO mchana nitakutana na Wanahabari na tutalizungumza hili. Nitawaambia saa na mahali, kwasasa naomba TUTULIE!’
Comments
Post a Comment