Wayahudi katika Historia - Somo la 13
Wayahudi katika Historia - Somo la 13
Submitted by CarlHinton on Sun, 04/06/2014 - 17:23
SOMO LA 13
MASOMO YA WAKRISTADELFIA KWA NJIA YA POSTA
WAYAHUDI KATIKA HISTORIA
(Sehemu ya 1)
SOMO: Mwanzo 37
Mwanzo wa historia yao
Habari za Wayahudi zinaanza hasa ni yule mtu mmoja aliyekuwa mtu wa imani sana, aliyeitwa Ibrahimu. Alipata mtoto wa kiume wakati wa uzee wake, aliyeitwa Isaka, na Isaka akawa na mwana aliyemwita Yakobo, aliyepewa jina la Israeli baadaye. Yakobo alipata wana kumi na wawili wa kiume, ambao ni mababa wa makabila kumi na mawili ya Israeli.
Mwana wa kiume wa pili kutoka mwisho aliitwa Yusufu, na historia ya maisha yake tunayoipata kwenye Biblia ni ya kusisimua wakati wote tunapoisoma. Lakini ni zaidi ya kuwa historia; inatupa simulizi juu ya matukio muhimu kuhusiana na watu wa Biblia, Wayahudi. Ndani yake tunapata kielelezo cha ajabu cha vile mkono wa Mungu unavyoyaongoza masuala yanayohusu watu wake.
Tunaweza kukumbuka vile kaka zake Yusufu walivyomuuza kuwa mtumwa kutokana na wivu, na vile baada ya kupatwa na majaribu mengi, Yusufu alivyopanda cheo kuwa mtawala wa Misri. Baada ya hapo, kutokana na njaa kali katika nchi ya Kanaani, baba yake na ndugu zake walihamia Misri kulikokuwa na chakula kwa wingi.
HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO
Uzuri wa usiku si giza lifunikalo dunia wala si kimya kinachotawala mazingira bali ni njozi njema zenye maono na matarajio yenye mafanikio. Nakutakia ucku mwema °·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.° Kama jicho langu halija kuona basi moyoni daima nakukumbuka na ikiwa dua zangu hazijakulinda basi mungu daima atakulinda,nami cna budi kukutakia usiku mwema. °·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.° Upendo ni tiba maradhi hukimbia. Salamu ni shiba biriani yazidiwa. Kukumbukana ni haiba nuru hutuangazia. Kwa furaha na mahaba sichoki kusalimia. Usiku mwema •·.·°¯ ·.·•*•·.·°¯ ·.·• Salio la macho yako halitoshi kuendelea kuona kwa sasa tafadhali tandika kitanda na ulale,kwa maelezo zaidi subiri usingizi ukolee uote ndoto nzuri. usiku mwema! •·.·°¯ ·.·•*•·.·°¯ ·.·• ni usiku tulivu wenye hali ya hewa saafi na usingizi wa amani ukishika hatamu kuzisafirisha fikra za binadamu katika ndoto! najua umechoka na pilikapilika za mchana ,jua na makelele na kila aina ya mwingiliano wa sauti ,ni wasaa mzuri sasa waku...
Comments
Post a Comment