Yanga watinga hatua ya makundi shirikisho CUF

Club ya yanga imetinga hatua ya makundi shirikisho CUF, baada ya mchezo wake dhidi ya esperanca kumalizika kwa wenyeji kushinda goli moja kwa bila licha ya ushindi huo wamejikuta wa kitupwa nje  kwani mchezo wa kwanza yanga walishinda 2 bila nyumbani ,shukrani kwa DEO MUNISH ALIYE PANGUA PENATI DK 87,

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?