Posts

Mume Wangu ananitesa. Ona Vitu Nilivyopata kwa Gari lake

Image
  Mimi na mume wangu tumeishi maisha mazuri na ya amani hadi mwezi jana ndipo  alipoanza kubadilisha mienendo yake. Kwa wiki nne sasa amekuwa akirejea nyumbani usiku na wakati ninapomuuliza  anasema kazi imekuwa nyingi. Nimekuwa nikishangaa imekuaje kazi yao imebadilika na  kuwa nyingi tofauti na ilivyokuwa hapo awali. Maajabu, juzi aliporudi usiku nilienda kuchungulia gari lake punde tu aliposhuka na  niliona maajabu. Kwa kweli niliyoyaona yalinifedhehesha mno. Kwenye kiti cha nyumba  kulikuwa na suruari nyekundu ya msicha na chini ya kiti hicho kulikuwa na mpira ya  kufanyia mapenzi. Tabia mbaya na ya aibu; sikusema lolote na ilipofika asubuhi nilienda  nikachukuwa vitu hizo zote mbili na nikamuonyesha ndipo ugomvi ulipozuka  nyumbani. Bwananagu karibu aniuwe kwa kisu nikatorokea mlango wa nyuma. Nilisafiri hadi nyumbani kwetu kwa mamangu mzazi nikamuelezea yaliyojiri na  hakuamini. Alinikaribuisha na kuniambia nisijali. Siku ya pili m...

Zaidi ya Watu 50 Wafariki Katika Mlipuko wa Lori la Mafuta Nchini Congo

Image
Mlipuko wa Lori la mafuta nchini Congo ZAIDI ya watu 50 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kwa kuungua na moto vibaya, baada ya lori la mafuta kulipuka katika kijiji kimoja  kilichopo Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.   Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Paris today, baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo hali zao ni mbaya sana na kuna uwezekano wa idadii ya vifo kuongezeka.   Aidha, taarifa hiyo inaeleza mlipuko huo ulitokea usiku wa kuamkia Septemba 15, 2022 katika kijiji cha Mbuba kilichopo kilomita 120 Magharibi mwa Mji wa Kinshasa nchini humo.   Tukio jingine kama hilo lilitokea mwaka 2018 ambapo zaidi ya watu 50 walifariki katika kijiji hicho kilichopo kwenye barabara kuu ya RN1 yenye shughuli nyingi inayounganisha Mji wa Kinshasa na Bandari ya Matadi na Boma. Zaidi ya watu 50 wameripotiwa kufariki dunia kufuatia tukio hilo Mwaka 2010 takribani watu 230 walipoteza maisha nchini humo, baada ya lori la mafuta kupinduka na kulipuka kisha moto kusamba...

Zifahamu dalili, halmashauri saba zenye mlipuko wa Surua Tanzania

Image
Surua ni miongoni mwa magonjwa ya kuambukiza ambayo bado yanausumbua ulimwengu ambapo kwa mujibu wa Shirika la Afya la Duniani (WHO) watu 207,000  walifariki kutokana na ugonjwa wa surua mwaka 2019Watu 54 wathibitika kuwa na ugonjwa,ufatiliaji wa wagonjwa kuimarishwa.  Wazazi washauriwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo kuzuia hatari zaidi ya vifo. Kati ya halmashauri saba, tatu zipo Dar es Salaam.  Dalili zake  kuu  ni homa na vipele ambayo huambatana na mafua au kikohozi, macho kuwa mekundu pamoja na  vidonda mdomoni. Dar es Salaam . Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi hayo yasiyokuwa na tiba ambayo miongoni mwa dalili ni kutoka upele na kikohozi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewaambia wanahabari leo Septemba 15,2022 jijini Dodoma kuwa uchambuzi wa majibu ya vipimo vya sampuli za kipindi cha Julai hadi Agosti  umeonesha kuwa halmashauri ...

WHO: Vifo Vitokanavyo na Virusi vya Corona Vyadizi Kupungua Duniani

Image
                                                                       Virusi vya Covid- 19 SHIRIKA la Afya Duniani limerekodi idadi ndogo zaidi ya virusi vya Corona tangu machi 2020, mkurugenzi mkuu wa shirika la afya duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus ameeleza hayo wakati akitoa mwenendo wa ugonjwa huo.   Katika mkutano na waandishi wa habari Jumatano, Mkurugenzi Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema dunia haijawahi kuwa katika nafasi nzuri ya kukomesha COVID-19, kuliko wakati huu.                             Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus Katika ripoti yake ya kila wiki kuhusu janga hilo, shirika la afya la Umoja wa Mataifa lilisema vifo vilipungua kwa asilimia 22,  wiki iliyopita. ...

Breking: Vitu vya wizi vya Waganda Wezi kichwani

Image
Wezi wawili wa umri wa kati ya mika ishirini na mine na sihirini na sita walizua kioja  kijiji cha Kijito Nyama Tanzania wakati walipatika wakiwa na Tv, mtungi wa gesi na  godoro waliokuwa wameiba. Ali an mwenzake Razu kassim wa walipatikan wakizunyuak uwanja wa kijito Nyama  asubuhi ikiwa wamebeba bidhaa hizo tatu – godoro, mtungi wa gesi na Tv walizokuwa  wamemuibia mama mmoja mjene sehemu hiyo. Wakwanaz kuwapata alishangaa ni kwa nini walikuwa hawtui mizogo hiyo chini huku  wakilia kwa uchungu ndipo ilipogundulika kuwa hizo bidhaa walizokuwa wameiba  zilikuwa ziemfanyiwa majanja ya mjini. Mweney vitu hizo zilizokuwa zimeibiwa aliposikia habari hizo asubuhi hiyo, alitembea  kwa haraka kuenad kujionea iwapo ni vitu zake na ndipo alipopat kuwa hizo zilikuwa  vitu zake. Hakuonega kitu kwani alitazama kwa umbali huku akitabasamu adhabu  aliyokuwa amewapa wawili hao. Muda zi muda alionekana amenyanyua simu akimpgia mtu asiyejulikana na akasikiak...

Contract Jobs at Ubungo Municipal Council

Image
    Job Overview Contract Jobs at Ubungo Municipal Council  Jobs Dar es Salaam, Ubungo Job Description Ubungo District is one of five districts in Dar es Salaam, Tanzania, the others being Ilala to the South and Kinondoni to the North and Kigamboni across Kivukoni harbor. Contract Jobs at Ubungo Municipal Council DOWNLOAD THE FULL ADVERT HERE The deadline for submitting the application is 26 September 2022.

Rais Ruto Awateua Majaji Sita Walioibua Utata Kuwaapishwa leo Ikulu Nairobi

Image
Rais William Ruto (Kulia) na Jaji Mkuu wa Kenya Martha Karambu Koome. Rais wa Kenya William Ruto, saa chache tu baada ya kuapishwa kama kiongozi wa taifa hilo la Afrika Mashariki, aliwateua majaji sita wa mahakama ya rufaa, waliokuwa wamependekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama miaka mitatu iliyopita, lakini rais aliyemtangulia Uhuru Kenyatatta akakataa kuwidhinisha.   Ruto alisema majaji hao sita wataapishwa leo Jumatano katika Ikulu mjini Nairobi. Rais pia aliahidi kutenga Sh3 bilioni za ziada kwa bajeti yake ya kila mwaka kila mwaka.   Bila kutoa maelezo zaidi, Rais wa zamani Uhuru Kenyatta alipuuza uteuzi wa majaji hao, miaka mitatu iliyopita akidai kuwa “walikuwa na dosari” na kuwateua wenzao 34 mnamo mwezi Juni 2021.   Ruto aliapishwa kama rais wa tano wa Kenya, wiki moja baada ya Mahakama ya Juu kuidhinisha uchaguzi ambao ulikatiza matumaini ya familia mashuhuri za kisiasa nchini humo na kumpa mamlaka mtu ambaye alilelewa katika mazingira ya umaskini, na kuanza kaz...