Posts

Dalili za mwanamke asiyekupenda kwa dhati

Image
Unapokuwa  kwenye mahusiano ya kimapenzi  mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo; 1. Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali. 2. Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu. 3. Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa. 4. Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu. 5. Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna! 6. Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa m...

Sanduku la Agano likowapi?

Image

KEN WALIBORA AMEFARIKI

Image
Citizen TV ni miongoni mwa vyombo vya habari vilivyoripoti kufariki kwa mwandishi na mwanahabari ken walibora Mwandishi nguli wa kiswahili, mwanahabari wa zamani na Mwalimu, Ken walibora  amefariki. Nguli huyo aliyejulikana kwa kalamu yake hasa katika kazi za kifasihi kama vile siku njema, Mstahiki meya, kidagaa kimemuozea, nasikia sauti ya mama, amefariki akipokea matibabu katika hospitali ya Kenyatta Nairobi. Habari zilizoufikia mtandao huu (masshele swahili) ni kuwa Ken aliripotiwa kutoweka ghafla tangu ijumaa iliyopita, Aprili 10. Ambapo kwa utafiti wa polisi pamoja na taarifa za wasamaria wema zinaonesha kuwa Walibora alihusika katika Ajali ya gari iliyotokea Landhiers Road Nairobi baada ya vitambulisho vyake kuonekana eneo hilo. Amefariki akiwa na miaka 55. Walibora alikuwa mwajiriwa wa National media group Kenya pia amewahi kufundisha vyuo kadhaa ikiwemo chuo kikuu cha Wisconsin Marekani kama profesa msaidizi wa lugha za kiafrika vilevile katika chuo kikuu  ch...

Historia ya BIBI titi Mohammed mwanamke shujaa mpigania uhuru wa Tanzania

Image
1. Usuli: 1.1 TITI Kuzaliwa: TITI MOHAMED SALUM MANDWAGA alizaliwa mwezi Juni 1926 jijini Dsm. 1.2 Wazazi Wa TITI: Baba yake aliitwa Bw. MOHAMED BIN SALIM na mama yake aliitwa Bi. HADIJA BINTI SALIM. Wazazi hawa walitokea Rufiji. Baba yake alikuwa mfanyabiashara ya mbuzi na ng'ombe na mama yake alikuwa mkulima. 2. Elimu: 2.1 Baba Agoma TITI Asisome: Baba yake alikataa katukatu kwamba TITI asisome shule kwa hofu angekuwa kafiri. 2.2 Mama Ampeleka TITI Shule: Baba yake alifariki TITI akiwa na miaka 9 tu. Mamaye akatumia fursa hiyo kumpeleka TITI Shule ya Wasichana Uhuru ambako alisoma hadi darasa la 4. 3. TITI Aolewa na MHENGA akiwa na miaka 14 tu: TITI aliolewa na mwanaume mzee ambaye angeweza hata kuwa baba yake wakati yeye akiwa binti wa miaka 14 tu.  4. TITI Ajifungua Mtoto wa Kike: TITI alijifungua mtoto wa kike aitwae HALIambaye alikuja kuolewa na MZEE IDD HAMIS, Mshambuliaji hatari wa Cosmopolitans, klabu ya kwanza kutwaa ubingwa TZ...

Jinsi ya kumshawishi mwanaume akuoe

Image
Kumfanya mwanaume aweze kuwa na majukumu ya kimaisha ni vigumu, lakini hizi mbinu ambazo tuko nazo za kumfanya mwanaume akuoe zitahakikisha umesimama na yeye madhabahuni haraka sana. Hivi wewe umekuwa katika mahusiano na mwanaume kwa muda mrefu mpaka unaanza kushuku iwapo huyu mwanaume yuko serious na wewe ama anakuchezea tu? Na umekuwa kila siku ukimwomba Mola akusaidie angalau amfanye huyu mwanaume ulie naye atoe ishara za kuwa atakuoa mbeleni. Well, sote tunajua kuwa ndoto ya kila mwanamke ni kuwa siku moja katika maisha yake atakuja kuolewa kwa harusi…so sisi hapa tunataka kukupa maujanja ya kumfanya huyo mwanaume atake kukuoa haraka sana. Jinsi ya kumshawishi mwanaume akuoe; Kuwa girlfriend kamili. Hivi wewe na mwanaume huyu mumekuwa na maisha ya fanaka. Nyote wawili mumeinjoy maisha ya furaha, mumezama katika mapenzi, na unaona kwamba una uwezo wa kumwambia kila kitu ambacho unakifikiria. Lakini hebu ngoja kidogo na ufikirie mambo ambayo unaweza kufanya zaidi ya hayo. M...

Jinsi ya kuwa wakala

Kuwa wakala wa Tigo bofya HAPA Kuwa wakala wa Nmb plc bofya HAPA Kuwa wakala CRDB bofya HAPA Kuwa wakala wa TPB bank bofya HAPA

Wachezaji Watanzania waliokimbia corona nje

Image
Wakati wanasayansi duniani kote wakihangaika kutafuta tiba ya ugonjwa wa virusi vya corona, Covid-19, serikali za nchi mbalimbali duniani zimeendelea kutoa maelekezo kuhusu namna ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huo. Janga la corona ndilo lililosababisha kusitishwa kwa shughuli mbalimbali za michezo ili kupunguza kasi ya kusambaa kwa virusi hivyo kama si kuvitokomeza kabisa. Katika eneo hilo la kusitishwa kwa shughuli za michezo, imewabidi wachezaji kadhaa wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa nje ya nchi warejee nyumbani kusubiri hali itakapokuwa shwari. Kwa nini wamerejea nchini wakati wachezaji wengine wameendelea kuwepo katika mataifa wanayocheza, akiwemo Abdi Banda anayecheza nchini Afrika Kusini, Simon Msuva na Nickson Kibabage waliopo Morocco na Mbwana Samatta ambaye anacheza Aston Villa ya England? “Nilipewa uhuru wa kufanya uamuzi wa kubaki Msumbiji au kurejea nyumbani,” anasema mshambuliaji Eliuter Mpepo ambaye ni mmoja kati ya wachezaji waliorejea nchini. Mpe...