Posts

UHAKIKI WA NADHARIA YA KI-MARKS KATIKA FASIHI

Image
UHAKIKI WA NADHARIA YA KI-MARX KATIKA FASIHI. Swali. Eleza mawazo makuu yanayojitokeza katika nadharia ya Umarx kisha hakiki Tamthilia ya Kwenye Ukingo wa Thim kwa kutumia nadharia ya Ki-Marx. DONDOO: UTANGULIZI Maana ya Nadhari Maana ya Umarx Maana ya Nadharia ya Umarx KIINI Mawazo makuu yanayojitokeza katika nadharia ya Umarx. Sifa na udhaifu wa nadharia ya Ki-Marx Uhakiki wa Tamthilia ya Kwenye Ukingo wa Thim. · HITIMISHO · MAREJEO Nadharia ni dhana iliyofafanuliwa na wataalam mbalimbali kama ifuatavyo: Wafula na Njogu,(2007:7) Nadharia ni jumla ya maelekezo yanayomsaidia msomaji au mhakiki kuifahamu kazi ya fasihi kwa kufuata utaratibu maalumu. Tuki, (2004:300) Nadharia ni mawazo, maelezo au muongozo uliopangwa ili kusaidia kueleza, kutatua au kutekeleza jambo fulani. Tunakubaliana na fasili iliyotolewa na Wafula na Njogu, kutokana na kwamba fasili hii imetaja vitu muhimu kama vile, maelekezo ambayo ndiyo yanayomuongoza msomaji au mhakiki ili asivuke mipak...

UHAKIKI WA NADHARIA YA KI-MARKS KATIKA FASIHI

Image
UHAKIKI WA NADHARIA YA KI-MARX KATIKA FASIHI. Swali. Eleza mawazo makuu yanayojitokeza katika nadharia ya Umarx kisha hakiki Tamthilia ya Kwenye Ukingo wa Thim kwa kutumia nadharia ya Ki-Marx. DONDOO: UTANGULIZI Maana ya Nadhari Maana ya Umarx Maana ya Nadharia ya Umarx KIINI Mawazo makuu yanayojitokeza katika nadharia ya Umarx. Sifa na udhaifu wa nadharia ya Ki-Marx Uhakiki wa Tamthilia ya Kwenye Ukingo wa Thim. · HITIMISHO · MAREJEO Nadharia ni dhana iliyofafanuliwa na wataalam mbalimbali kama ifuatavyo: Wafula na Njogu,(2007:7) Nadharia ni jumla ya maelekezo yanayomsaidia msomaji au mhakiki kuifahamu kazi ya fasihi kwa kufuata utaratibu maalumu. Tuki, (2004:300) Nadharia ni mawazo, maelezo au muongozo uliopangwa ili kusaidia kueleza, kutatua au kutekeleza jambo fulani. Tunakubaliana na fasili iliyotolewa na Wafula na Njogu, kutokana na kwamba fasili hii imetaja vitu muhimu kama vile, maelekezo ambayo ndiyo yanayomuongoza msomaji au mhakiki ili asivuke mipak...

Uhakiki wa riwaya ya MFADHILI kidato cha 5&6

UHAKIKI WA RIWAYA YA MFADHILI KIDATO CHA 5 & 6 UHAKIKI WA RIWAYA JINA LA KITABU: ,MFADHILI. MWANDISHI: HUSSEIN TUWA MHAKIKI: IKS STUDENT UDSM Utangulizi kuhusu Riwaya. Mfadhili ni riwaya iliyoandikwa na Hussein Tuwa, ni riwaya inayoongelea juu ya penzi zito baina ya watu wawili, Gaddi Bullah na Dania Theobald na jinsi ambavyo penzi hilo linavyoingiliwa na mitihani,majaribu na misukosuko mikubwa na namna ambavyo kila mmoja anavyojaribu kukabiliana na hiyo misukosuko. Ni riwaya inayogusa moyo na isiyochosha kusomwa na wasomaji wa kila aina. Mwandishi Hussein Tuwa pamoja na kuandika riwaya hii, pia ameandika riwaya nyingine inayoitwa, Mkimbizi. Utangulizi kuhusu uhakiki wa riwaya hii. Tunapofanya uhakiki wa kazi za fasihi huwa tunachambua vipengele mbalimbali vya fasihi, vipengele hivyo ambavyo huchambuliwa ni fani na maudhui, katika fani huwa tunajishughulisha na Vipengele kama, wahusika, mandhari, mtindo, muundo, matumizi ya lugha, jina la kitabu na jalada, wakati kati...