Posts

Showing posts from April, 2025

Jinsi ya kufanya ili Mwanamke amsahau mpenzi wake wa zamani ili aje kwako

Image
  Naamini hii hali ishawahi kukutokea wakati mmoja au mwengine, kuna mwanaume flani ambaye umependezwa naye lakini bado fikra zake ameziweka kwa mpenzi wake wa zamani. Ama umeanza kuchumbiana na mwanaume halafu baadae ukagundua kuwa huyu mwanaume mara kwa mara anamtaja mpenzi wake wa zamani katika maongezi yenu. Leo kama Daktari Mapenzi tumeamua kukomesha hili janga kwa kuja na mbinu madhubuti ambazo zitamzingiti mwanaume kama huyu ili aweze kukufikiria wewe pekeake na wala si mwingine. Karibu ndugu mdau wetu,  #1 Mpe muda. Wakati mwingine ni bora zaidi kumpa mwenzako time ili aweze kusahau matukio ya awali. Mwanaume ambaye ameachana na mpenzi wake wa zamani kwa kawaida inaweza kuchukua muda mrefu kabla kurudi kawaida. So iwapo kweli unampenda mwanaume flani basi mpe muda anaouhitaji ili aweze kumsahau mpenzi wake wa zamani. Hilo si jambo baya kufanya. Kumpa muda wa kufikiria kunasaidia kwa kuwa atakuwa anapoteza mawazo yake ya zamani na huyo mpenzi wake. Hakikisha unamkaa mba...

Jinsi ya kumwomba Mwanamke Namba ya simu akakupa kwa Haraka

Image
  Je ushawahi kujaribu kumwomba mwanamke namba yake ya simu ukashindwa? Je umejaribu kutumia mbinu uliyojifunza kuomba namba ya mwanamke lakini hukufaulu? Ama ulifaulu lakini mwanamke amekataa kujibu sms zako? Karibu ndugu msomaji leo , tumekuja na mbinu mwafaka ambazo zitakufanya wewe upate namba ya mwanamke haraka na aweze kujibu texts zako siku ya pili ambapo utaamua kumtumia meseji. Wanaume wengi huingiwa na woga ikifikia wakati wa kuomba namba kutoka kwa wanawake. Haufai kuogopa na jambo hili. Mwanzo nataka nikuonyeshe njia za kumwomba mwanamke namba na pia nikuonyeshe umuhimu wa mbinu moja muhimu kati ya hizi. Mbinu za kumwomba mwanamke namba ya simu. Hizi ni hatua tano ambazo zitakurahisishia kazi yako ili upewe namba kutoka kwa mwanamke haraka sana. 1. nataka kwenda, lakini nilikuwa nataka kukujua zaidi. Waonaje nikupigie simu kesho? Au baadae Makinika hapa ya kuwa sijasema "nitakupigia simu siku flani" bali nimesema "kesho". Mwambie utampigia simu halafu um...