Posts

Showing posts from January, 2025

VIGEZO VYA KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2020

Image
Vigezo vilivyotumika mwaka Jana. Wangi wamekuwa wakiuliza kuhusu vigezo vya kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa mwaka 2020. Mpaka sasa hakuna habari mpya kuhusu vigezo vitakavyotumika hivyo hapana shaka kuwa vigezo vilivyotumika mwaka jana vitatumika Tena ingawa pia mabadiliko yanaweza kutokea . Vigezo vinavyotumika 1.Mwanafunzi awe amefaulu na kupata DV I-III 2. Awe angalau amesoma kuanzia masomo saba na kuyafanyia mtihani. 3. Katika tahasusi kusiwe na daraja F. yani katika combination kuwa na A-D 4. Jumla ya alama katika tahasusi ilizidi 10. A=1, B=2, C=3, D=4, F=5. hivyo katika combination yako jumla ya alama haitakiwi kuzidi 10  BDD√  DCC √ 5. Mwanafunzi awe amechagua kujiunga na kidato cha tano, ikiwa nipamoja na kuchagua shule, kuchagua tahasusi aliyofaulu. Je kama ulijaza na hauku faulu katika tahasusi hiyo ufanyeje? Jaza selfom upya bofya HAPA

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MLAMBAI SEC

  NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2024 EXAMINATION RESULTS S2836 MLAMBAI SECONDARY SCHOOL DIVISION PERFORMANCE SUMMARY SEX I II III IV 0 F 1 3 8 11 0 M 4 4 7 8 2 T 5 7 15 19 Bofya <HAPA> kuangalia matokeo yote

MAJINA YOTE WALIOITWA USAILI AJIRA ZA UALIMU MIKOA YOTE

Image
  Call for Interview  WALIOITWA KWENYE USAILI MIKOA MBALIMBALI KADA ZA UALIMU 11-01-2025  WALIOITWA KWENYE USAILI MIKOA MBALIMBALI KADA ZA UALIMU 11-01-2025  WALIOITWA KWENYE USAILI MIKOA MBALIMBALI KADA ZA UALIMU 11-01-2025  WALIOITWA KWENYE USAILI MIKOA MBALIMBALI KADA ZA UALIMU 11-01-2025  WALIOITWA KWENYE USAILI MIKOA MBALIMBALI KADA ZA UALIMU 11-01-2025  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MAJINA YA NYONGEZA 10-01-2025  TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KADA ZA UALIMU WA MASOMO YA AMALI NA BIASHARA 10-01-2025