Posts

Showing posts from August, 2024

Love story mama mdogo

Image
SIMULIZI YA MAMA MDOGO SURA YA ........14.......  ILIPOISHIA: Usiku mama mdogo alianzisha tena mazungumzo na baba Jamal kuhusu kumpeleka Jamal shule. Alimsifia Jamal kwamba amebadilika sana na kwamba sasa ni mtoto mzuri, hana kiburi, anajituma katika kazi na ameacha kabisa mambo ya mapenzi. Hivyo alisisitiza kwamba apelekwe shule ili akasome kwa faida yake na mdogo wake. Baada ya kufikiria sana baba Jamal alikubali na kumtaka mama yake mdogo aende shule ya Sekondari ya Jitegemee ili akatafute nafasi na kisha Jamal aanze kusoma mara moja. INAPOENDELEA: Siku iliyofuata baba Jamal alikwenda kazini kama kawaida yake. Jamal aliamka saa tatu siku hiyo, kwani hakupata usingizi vizuri usiku kutokana na kuwa na mawazo mengi. Alikwenda sebuleni na kumwita mama yake mdogo aliyekuwa chumbani. Mama mdogo alipofika tu alimrukia Jamal shingoni na kumbusu shavuni. “Jamal kazi nimemaliza.” Alitamka mama mdogo huku akimwangalia Jamal. “Kweli mama mdogo? Mbona siamini, umetumia m...

Mbinu mpya za kutongoza msichana akupende

Image
Katika makala hii tutaeleza mbinu mbalimbali za kuweza kuuteka moyo wa msichana yeyote yule uliyempenda Wanawake tunakumbana nao kila siku, kila wakati na kila saa. Lakini jiulize...Je, mimi hutumia njia sahihi kumtongoza mwanamke? Ukishajiuliza hilo swali kwanza tafakari halafu nikueleze hali halisi iliopo. Katika jamii yetu, wanaume wengi wanapata changamoto katika kuonyesha hisia zao kwa wanawake kwa njia sahihi. Hivyo, leo tumeamua kukuandalia makala hii ili kutoa mwongozo wa jinsi ya kumvutia mwanamke na kumfanya akupende na kukubali mapenzi yako. Tutazingatia hoja kumi na moja ambazo zitakusaidia kufikia lengo lako la kumtongoza mwanamke kwa njia ya kkuvutia 1.  Hakikisha una  Kuwa mwaminifu.  Mwanaume anapaswa kuwa mwaminifu katika nia yake ya kumtongoza mwanamke. Kusema ukweli ni muhimu sana katika uhusiano wowote na hasa katika hatua ya kumtongoza mwanamke. Kwa kufanya hivyo, mwanaume anaweza kuonyesha kwamba yeye ni mtu anayejali na anayeheshimu hisia za mwanamk...