Posts

Showing posts from February, 2022

MSICHANA FAHAMU NAMNA YAKUPATA MPENZI WAKWELI

Image
  Katika mahusiano yoyote yale mtu/wewe ungependa kutambua ni kwajinsi gani mpenzi wako hakudanganyi. Sasa maswali yako unaweza kujibiwa kwa kusoma mambo yafuatayo;- Usiipe nafasi hofu Nyote mnapaswa kuwa na hisia zenye afya ili kujenga uhusiano wenye mafanikio. Kwa mfano, siyo dalili nzuri kama unakuwa kwenye uhusiano kwa sababu tu unahofu kuwa mpweke. Ni vibaya pia kwa mwanaume wako kusema anaupenda mchezo fulani kama anavyokupenda! Au ukiwa na msongo wa mawazo, usinase kwenye mtego wa mapenzi kwa kudhani unaweza kuwa tiba. Ni vizuri zaidi kutafuta mwanaume ambaye hahitaji utabibu. Chunga mwendo wako Jihadhari na chunga mwenendo wako kwani wanaume huwa makini na hushangazwa zaidi wakati wapenzi wao wanapokuwa wanafanya mambo ya ajabu. Unapozungumza naye muangalie usoni siyo sakafuni. Usimuulize maswali mengi kuhusu kazi yake, ingawa ni muhimu kujua anafanya kazi gani, kwani anaweza kuwa jambazi ati! Anaweza kudhani unataka kumchuna tu. Kufanana huleta mafanikio Hii haimaanishi un...

DALILI ZA MWANAMKE ASIYE KUPENDA

Image
  Unapokuwa  kwenye mahusiano ya kimapenzi  mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo; 1. Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali. 2. Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu. 3. Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa. 4. Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu. 5. Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna! 6. Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkim...

Ghost Of Kyiv; Rubani Wa Ukraine Anayeitesa Urusi

Image
Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv), imepata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo mpaka sasa inadaiwa kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.   Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.   Ndege za Urusi zilizotunguliwa na kuthibitishwa na Mkuu wa Majeshi wa Ukraine, Valerii Zaluzhnyi ni pamoja na ndege mbili za kijeshi za Su- 35, ndege mbili za kijeshi za Su-25, ndege moja ya Su-27, ndege nyingine ya МіG-29 ambazo zote zilitunguliwa katika saa 30 za kwanza tangu mashambulizi yaanze jijini Kyiv mhusika mkuu akiwa ni The Ghost of Kyiv.   Ili kuthibitisha kwamba ni kweli rubani huyo yupo na si uzushi wa mitandaoni, Waziri wa...

UKRAINE YASEMA WANAJESHI WAKE WALIUAWA BAADA YA KUKATAA KUJISALIMISHA

Image
UKrains imewatuza wanajeshi 13 waliouawa wakilinda kisiwa kidogo baada ya kuripotiwa kupuuza meli ya Urusi iliyowaamuru kujisalimisha. Katika nakala za sauti ambazo hazijathibitishwa, walinzi wa mipakani wanaolinda Kisiwa cha Zmiinyi kwenye Bahari Nyeusi wanaambiwa "waweke chini silaha zako" au "wapigwe kwa bomu". "Meli ya kivita ya Urusi, endeni kuzimu," wanajibu.Ukraine inasema baada ya ha waliuawa kupitia mashambulizi ya angani na baharini. Urusi inakanusha hiyo, ikisema wote walijisalimisha. Rais wa Ukraine VolodymyrZelensky amewatambua kila mmoja wa walinzi hao kama "shujaa wa Ukraine"

MWANAFUNZI CHUO KIKUU AFARIKI BAADA YA JOGOO WAKE KUWIKA SIKU TATU MFULULIZO

Image
  Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha Maasai Mara ameaga dunia baada ya jogoo wake kuwika kwa siku tatu mfululizo katika Kaunti ya Narok nchini Kenya. Kwa mujibu wa ripoti ya polisi, mwanafunzi huyo aliyekuwa na umri wa miaka 22 alifariki akiwa katika Hospitali ya Shepherd alikokuwa amelazwa akipokea matibabu baada ya kulalamikia maumivu kwenye eneo lililo chini ya tumbo yake na jogoo wake kuwika bila kukoma  Tukio hilo liliripotiwa na Msimamizi wa Maslahi ya Wanafunzi Chuoni humo Aden Mohamed aliyesema kuwa mwendazake alikuwa ameshuhudia jogoo wake akiwika kwa siku tatu bila kukoma.  Jogoo huyo aliwika kutoka Jumamosi, Februari 19 hadi Jumatatu, Februari 21,2022 na kuufanya usimamizi wa chuo hicho kumpeleka hospitalini. “Kuna mwili wa mwanafunzi katika Hospitali ya Shepherd aliyelazwa Februari 23 mwendo wa saa 10:20 asubuhi akilalamikia maumivu chini ya tumbo na jogoo wake kuwika bila kukoma tangu Jumamosi Februari 19,” ripoti ya polisi inasema.  Maafisa wa polisi wa...

KIASI CHA MAJI UNACHOPASWA KUNYWA KULINGANA NA UZITO WAKO

Image
  Ni kiasi gani cha maji unakunywa kwa siku na unakunywa wakati gan! Kama tunavyojua kuwa maji ni uhai, maji yakinywewa kwa nidhamu na kuzingatia uzito mtu alionao tunaweza kukwepa zaidi ya asilimia sitini (60%) ya maradhi mbalimbali. Muda gani sahihi wa kunywa maji! Mara tu unapoamka asubuhi. Nusu saa au dk 45 kabla ya muda wa chakula  cha mchana au cha jioni. Na muda uliobaki kunywa kiasi kwa kipindi fulani cha muda. Yanywe maji ukiwa umekaa na kunywa kidogo kidogo. Muda gani usinywe maji! Usinywe maji wakati au mara tu baada ya kula. Ijulikane kuwa maji na chakula ni vitu viwili tofauti ambavyo mwili unahitaji lakini sio kwa mkupuo. Ukifanya hivyo maji yanaharibu baadhi ya virutubisho vilivyopo kwenye chakula. Usinywe maji mengi kwa wakati mmoja ili kufikia kiwango kinachohitajika kwa siku. Hakikisha inapofika saa 12 jioni uwe umeshafikia kiwango chako cha mwisho, usinywe maji zaidi ya muda huo yatakuharibia usingizi usiku. Kiasi gani cha maji ninywe kwa siku kulingana na u...

ALIYEACHANA NA MUME NA KUOLEWA NA MWINGINE AJIFUNGUA MKONO WA MAMBA NA KUKOJOA MJUSI

Image
Mfano wa mkono wa mamba na mjusi Na Ibrahim Yasin - Kyela Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Maria Mwakila (26), mkazi wa Kitongoji cha Mbyaso, Kijiji cha Mpunguti, Kata ya Ikama wilayani Kyela mkoani Mbeya, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kutokwa na mjusi sehemu za siri alipokwenda kujisadia haja ndogo. Wiki tatu zilizopita, binti huyo aliripotiwa kujifungua mkono wa mamba na kuzua taharuki kwa wakazi wa eneo hilo. Ilidaiwa kuwa kijana huyo alikuwa na ujauzito wa miezi mitatu na alitibiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kyela baada ya kukumbana na mkasa huo. Siku 18 baada ya kupata matibabu hayo, jana majira ya saa mbili asubuhi, alipokwenda kujisaidia haja ndogo, alidai ulitoka mjusi ukiwa na kucha mkiani. Akizungumza jana na Nipashe Jumapili baada ya kumaliza kikao cha machifu, mume wake, Lugano Sindalama, alisema walioana Oktoba mwaka jana baada ya kuwa ameachana na mwanamume aliyekuwa naye wilayani Sumbawanga. Mume wake huyo alidai kuwa baada ya kupata ujauzito, mke wake aliku...

Digital Marketing Manager

Image
  Messa Next Biosciences Midrand, Gauteng, South Africa Posted 1 hour ago Save Save   Apply Job description Next Biosciences hires the best. People with a growth mindset. Positive, anything is possible attitude. People who are smart and take time to think before doing. Click here to read the full Next Biosciences Manifesto:  https://nextbio.co.za/about/#values. If you are as passionate as we are about our Manifesto, then you are the right person to apply to join our team.   Key Purpose= We are looking for an experienced and result-driven Digital Marketing Manager to join our team. The Digital Marketing Manager will be responsible for setting up, implementing and managing the company’s overall digital marketing strategy across all our products and services. They will be responsible for developing and maintaining brand awareness within the digital space as well as for driving traffic to the company’s website and for attaining leads and customers. They will be responsib...