Posts

Showing posts from August, 2021

Serikali ya Tanzania yashusha tozo za miamala ya fedha kwa simu kwa asilimi 30

Image
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Lameck Nchemba akisaini  marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya Kielektroniki za Kutuma na Kutoa Fedha kwa Mwaka 2021, marekebisho hayo yamepunguza viwango vya tozo za miamala hiyo kwa asilimia 30, jijini Dodoma. Picha| Wizara ya Fedha na Mipango. Watoa huduma nao wamekubali kushusha tozo wanazotoza baina ya mtandao na mtandao kwa kwa asilimia 10. Viwango vipya kutolewa Septemba Mosi, 2021. Dar es Salaam.   Huenda Watanzania watapata ahueni baada ya Serikali kufanya mabadiliko katika tozo za miamala ya fedha inayofanyika kwa njia ya simu na kupunguza kwa asilimia 30. Viwango hivyo vimepungua baada ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba leo Agosti 31, 2021, ametia saini marekebisho ya Kanuni za Tozo za Miamala ya Kieletroniki za Kutuma na Kutoa Fedha za Mwaka 2021. Msemaji wa Wizara ya Fedha na Mipango, Benny Mwaipaja amesema pia Serikali imefanya majadiliano na watoa huduma za simu ambao nao wameridhia kupunguza viwan...

Majina ya waliopewa Mikopo Elimu ya Juu HESLB 2021/2022

Image
  Bodi ya mikopo elimu ya juu itafanya mkutano Na waandishi wa habari kesho Sept. 1 kuhusu uombaji mkopo 2021 2022, tembelea tovuti ya Heslb.go.tz kwa taarifa zaidi

Mwanamke Afariki Baada ya Kupata Chanjo ya Pfizer

Image
  SERIKALI ya  New Zealand  imeripoti kile inachoamini kuwa kifo cha kwanza kinachohusisha chanjo ya corona ya  Pfizer . Bodi huru inayosimamia usalama wa chanjo nchini humo imesema kifo cha mwanamke huyo huenda kimesababishwa na na maumivu katika ya misuli ya moyo.   Pia, imesema kulikuwa na changamoto nyingine ambazo kuna uwezekano zilisababisha athari za chanjo kutokea. Waangalizi wa Ulaya wamesema kuwa ugonjwa huo ni nadra na kuwa faida ya chanjo ni kubwa zaidi kuliko athari mbaya za chanjo.   Taarifa rasmi kuhusu sababu ya kifo bado haijatolewa. Hatahivyo, Bodi inayoshughulikia usalama wa chanjo ya Covid-19 imesema kuwa maumivu ya misuli ya moyo huenda yalitokana na chanjo.   Hii ni kesi ya kwanza nchini New Zealand ambapo kifo kimehusishwa na chanjo ya  Pfizer COVID-19 . Wakati Kituo cha Ufuatiliaji wa athari mbaya kimepokea ripoti nyingine za vifo kwa mtu aliyepewa chanjo ya hivi karibuni, lakini hakuna taarifa ya kifo inayohushwa na c...

3 Job Opportunites at The National Electoral Commission (NEC)

Image
  The Background on the National Electoral Commission of Tanzania In 1991 the then President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Ali Hassan Mwinyi appointed a commission under the Chairmanship of the late Chief Justice of Tanzania, the Honourable Francis L. Nyalali. The task of that Commission was to collect public opinion as to whether or not to continue with the one – party system. Following the recommendations by the Nyalali Commission, Article 3 of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 was amended to make Tanzania a multi – party state. The Political Parties Act, (No. 5 of 1992) was enacted to provide for the registration of Political Parties. The Elections Act, (No.1 of 1985), the Local Authorities (Elections) Act, (No. 4 of 1979) and related legislations were also substantially amended to get rid of the one – party system and to put in place appropriate procedures for the conduct of Elections under the multi – party system. In 1993 the Natio...

Njombe: Ahukumiwa kifungo cha maisha baada ya kumbaka mtoto wa mwaka mmoja na miezi saba

Image
  Na Amiri Kilagalila,Njombe. Mahakama ya wilaya ya Njombe imemuhukumu kifungo cha maisha jela Steward Mkongwa (33) kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba. Katika shauri namba 42 la mwaka  2021 mshtakiwa anadaiwa kufanya kosa la ubakaji kinyume na kifungu cha sheria namba 130 kifungu kidogo cha kwanza na cha pili lakini pia kifungu 131 kifungu kidogo (1)(3) vya kanuni ya adhabu sura namba 16 iliyofanyiwa marejeo mwaka 2019. Inadaiwa kuwa mnamo tarehe  26 mwezi Julai mwaka 2020 katika mtaa wa Mwembetogwa halmashauri ya wilaya ya Makambako wilayani Njombe mshtakiwa alimbaka mtoto mwenye umri huo. Shauri hilo lililosimamiwa na wakili wa serikali Matiko Nyangero lilikuwa na mashahidi wanne upande wa mashtaka na shahidi mmoja upande wa utetezi ambaye ni mshtakiwa katika kesi iliyoendeshwa na hakimu mkazi wa mahakama ya wilaya ya Njombe Isaack Mlowe. Haimu Mlowe alisema mshtakiwa alikiri kufanya kitendo hicho cha kumuingilia mtoto huyo baada ya mama ...

Job Opportunities at FEZA International Schools, Teachers

Image
  Applications are invited from suitably qualified Tanzanian citizens to fill the following posts for 2021 academic year. NURSERY SCHOOL Professional Nursery Teacher PRIMARY SCHOOL Kiswahili, Religion, Arabic, Geography Science, Mathematics, Art Teachers. SECONDARY SCHOOL (0- LEVEL) Commerce & Bookkeeping. QUALIFICATIONS The Posts call for highly qualified, mature, self-motivated and of a high personal integrity. The candidates must be degree holders with at least 5 years of teaching experience. Experienced teachers will be offered a good package. MODE OF APPLICATION All applicants should fill the application form in the link below and upload all supporting documents (certificates, testimonials, and CVs) in the designated areas within the link. No applications or attachments apart from this link will be accepted. CLICK HERE TO APPLY

Rombo Kuanzisha Mnada Wa Mifugo

Image
HALMASHAURI ya Wilaya ya Rombo inapanga kufungua mnada wa mifugo katika kitongoji cha Munga, kijiji cha Shimbi Mashariki, kwa lengo la kuzuia wizi wa mifugo na kuongeza mapato ya serikali. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya hiyo,  Godwin Chacha alisema hayo mwishoni mwa wiki katika kikao cha ujirani mwema kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Rombo, Khamis Maigwa na kuwakutanisha Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Taveta nchini Kenya ikiongozwa na mkuu wa wilaya hiyo, Joseph Maina. Akizungumza katika kikao hicho, Chacha alisema ili kuimarisha uhusiano mzuri baina ya Tanzania na Kenya,  Halmashauri ya Rombo ipo mbioni kufufua mnada wa mifugo wa Munga ili kudhibiti wizi wa mifugo ambao umekuwa ukifanywa na baadhi ya watu na kuharibu sifa za ujirani mwema. "Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakinunua mifugo maeneo ya mpakani na kuja kuiuza Tanzania, wakati mwingine tumekuwa tukipata taarifa kuwa mifugo hiyo imeibiwa Kenya na kuja kuuzwa T...

7 Job Opportunities at Henry Jefferson Healthcare Initiatives, Clinical Officers

Image
  TUWALINDE PROJECT in Tanzania aims to provide medical care access and follow-up for rural Tanzania HIV patients with little knowledge about health issues , substance abuse, and unstable housing/homelessness challenges. The Project will be operating in 7 regions, Arusha, Kigoma, Mwanza, Geita, Mara, Shinyanga, Simiyu DUTIES AND RESPONSIBILITIES: To efficiently provide medical care for patients (diagnostic and Treatment) To decide about patients in need for Doctor’s care and referral accordingly well as abandonment. If necessary and asked, to organize identify and carry out thorough programmes for Primary Health care and for preventive medicine. To be responsible for statistics returns and any other administrative tasks To train, coach and follow up subordinates. To assist in the Home care service for AIDS patients. STANDARDS: Identifies, prioritizes and develops content for clinical and health related aspects collaborates with other senior staff to develop comparative provider and...

VIDEO: HISTORIA YA MWANAMALUNDI NA NAMNA ALIVYO TEMBEA JUU YA BAHARI KUTOKA ZANZIBAR

Image
Mwanamalundi mtu shujaa Kutoka katika kabila la wasukuma, Leo nimekuwekea historia yake hapa bofya video kutazama  Powerd by HMG

Namna bora ya kuboresha makalio

Image
  KUNA kitu ambacho wengi wetu huwa hawakifikiriii nacho ni makalio.Makalio yetu ndiyo yanatoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza kama yale makalio yanayosifiwa  sana na watu wa Televisheni ya  Jeniffer Lopez hayawezi kufua dafu. Wanawake wengi kwa sasa wanakwenda kuboresha makalio yao ili kuyapatia ukubwa unaostahili kwa jinsi wao wanavyopenda. Tatizo hili halipo hapa nchini lakini wapo walionituipia swali sasa inabidi nikiri kuwa lipo sana marekani na mpasuaji wa masuala ya urembo wa Miani Dk Costantino Mendieta amethibitisha. Katika fasihi yake mtaalam huyo amezungumzia sana utunzaji wa makalio kwa kuyagawa katika madaraja manne. Anasema makalio daraja la kwanza ndiyo yanayotakiwa sana > Ni kama vile umechukua moyo halafu ukaugeuza chini juu haya ndiyo dizaini ambayo Marekani wanalilia sana. Watu wa huko wanajimwaga katika majumba ya upasuaji kupata shepu hiyo adimu. Hatua hizo ni kama ifuata...

Job Opportunity at Tanzania Red Cross Society, Sanitation &Hygiene Promoter

Image
  TANZANIA RED CROSS SOCIETY   The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by the Parliament of Tanzania in 2019. Tanzania Red Cross Society was recognised and admitted to the membership of the International Federation of the Red Cross and Red Crescent Societies (IFRC) in 1963. The TRCS Headquarters office is located in Dar es Salaam. TRCS is now the largest and most dependable national partner in delivering humanitarian services in Tanzania. The TRCS has an active network in all regions of Tanzania Mainland and Zanzibar. Around 40% are women out of more than 35,000 active volunteers. Most importantly, because of its credibility, TRCS receives supports from a broad range of partners, including the IFRC, the ICRC, the American Red Cross, the Spanish Red Cross, the Belgian Red Cross-Flanders, the French Red Cross, the Italian Re...

Nafasi Ya Kazi Sengerema District Council, Executive Officers / WATENDAJI

Image
Executive Officers / WATENDAJI at Sengerema District Council August, 2021. Sengerema District is one of seven districts in the Mwanza Region of Tanzania, East Africa. It is bordered to the north and east by Lake Victoria, to the south by Geita Region and to the southeast by the Misungwi District. As of 2002, the population of Sengerema District was 501,915.

35 Job Opportunities at TANESCO, Technician-Geographical Information System (GIS)

Image
POST:  Technician-Geographical Information System (GIS) – 35 POSTS POST CATEGORY(S)  IT AND TELECOMS, LAND MANAGEMENT EMPLOYER  Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) APPLICATION TIMELINE:  2021-08-20 2021-09-03 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES To capture GIS field data in different formats using Global positioning system (GPS), electronic data recorders, digitizers and other means; To produce as built maps, drawings and monitor construction of distribution network to ensure compliance with the TANESCO’s standards; To download, convert and upload GIS data available from internal and external sources to make them usable; To update regularly customer data and distribution network infrastructure; To consult departmental users to identify new customer connections, distribution network extensions, transformer replacement/upgrading, meter replacement, line shift, modifications or any other information for updating on the system; To manage the databas...

17 Job Opportunities at Tanzania Health Promotion Support (THPS) - Assistant Data Officers

Image
Assistant Data Officers Tanzania Health Promotion Support (THPS) Jobs Overview Tanzania Health Promotion Supports (THPS) is an indigenous NGO established under non- governmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MOHCDGEC), Regional Administration and Local Government (PORALG), Ministry of Home Affairs (MoHA) and Ministry of Health (MoH) in Zanzibar with a goal of ensuring accessible high- quality health care services to Tanzanians; through strengthening of health and community systems for comprehensive quality health services including HIV/AIDS; Tuberculosis; prevention of GBV; reproductive, maternal, neonatal, child, and adolescent health (RMNHCAH) services; laboratory systems and services and health management information systems (HIMS) Tanzania Health Promotion support (THPS) has been awarded by the U.S. Centers for Disease Control and Prevention (CDC)- under the Coopera...