Posts

Showing posts from March, 2020

WIZI WA KAZI ZA WAANDISHI

MADA: *WIZI WA KAZI ZA WAANDISHI* Wapendwa, karibuni katika somo letu kuhusu wizi wa kazi za waandishi wa vitabu. Somo hili kwa kiasi ni gumu. Pengine, njia nzuri ya kuelewa somo hili ni kupitia kwanza somo la *Hakimiliki.*  Ugumu wa soma hili unasababishwa na waandishi, wasomaji na jamii nzima kutofahamu kwa kina kuhusu hakimiliki za kazi za waandishi. Pili, ni kutokana na Hakimiliki zenyewe kuonekana kutofanya kazi kwa uhalisia katika mazingira ya Kiafrika. Nikuulize swali hapa, *Umeshasikia wezi wangapi waliokamatwa kwa wizi wa kazi za waandishi?* Aidha, tunapozungumzia wizi wa kazi za waandishi tufahamu kwamba ni neno pana na tata kidogo. Katika mazingira ya dini, utata unakuwa mkubwa zaidi. Kwa mfano, kuna vitabu ambavyo vimewekewa *Haki ya Kunakili* ambayo si funge. Kuna baadhi ya vitabu vinaweza kuandikwa kwamba kwa ajili ya Uinjilishaji basi kitabu hiki kinaweza kutumika bila ruhusa. Swali hapa linakuja kwamba *ikiwa kitabu ni cha kiroho, mipaka ya Uinjilishaji na is...

Nafasi Za Kazi 1000 Za Madaktari Mpya

Image
1000 Jobs (Doctors) Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) Recruitment 2020 Free Job alert for both Fresher and Experienced Candidates updated on March 25, 2020. Get Direct Official Link for applying Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) Recruitment 2020 along with current Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) Recruitment official Notification 2020 here. Find all recent Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) Vacancies 2020 across Tanzania and check all latest Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) 2020 job openings instantly here, Know upcoming Ministry of Community Development, Gender and Children (MCDGC) Recruitment 2020 immediately here.

UHARIRI KATIKA KAZI ZA UANDISHI NA UCHAPISHAJI

MADA: *UHARIRI KATIKA KAZI ZA UANDISHI NA UCHAPISHAJI* Wapendwa, karibuni katika somo letu la nane. Somo linahusu uhariri wa kazi za uandishi. Kwanza nianze kwa kusema kwamba tunaposema uhariri tuelewe kwamba hii ni dhana pana sana. Uhariri uko katika fani kama za uandishi wa vitabu, magazeti, posti za mitandaoni. Pia, kuna uhariri katika kazi za filamu, redio, picha, na kadhalika. Hivyo, kutokana na hali hii, ndiyo maana tunalazimika kusema *uhariri wa vitabu* ili tujibane kwenye kumbo moja tu. Hizo nyingine hatutazizungumzia. *Uhariri ni nini?* Kwa ujumla, si rahisi kutoa maana rahisi ya uhariri. Hii inatokana na ukweli kwamba uhariri unafanywa na wengi na ni kazi ya kimchakato. Uhariri unaanzia kwa mwandishi mpaka kwa mchapishaji wa kitabu. Hata hivyo, tuseme tu kwamba uhariri *unahusisha michakato ya kupitia mswada au kazi ya msanii kwa nia ya  kuifanya kazi hiyo iwe bora zaidi, ieleweke vizuri, ionekane vizuri na pia iendane na jamii andikiwa.* Katika mazingira h...

Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Baada ya Kumbaka na Kisha Kumnyonga Binti wa Miaka 7

Image
Mtuhumiwa  anayedaiwa kubaka mtoto wa umri wa miaka 7, kisha kumnyonga shingo hadi kumuua amehukumiwa na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma kunyongwa hadi kufa. Aliyehukumiwa kifo, ni Matiko Chanduru (20) mkazi wa Kijiji cha Maburi wilayani Serengeti mkoani Mara,aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya mauaji ya kukusudia namba 27/2019 ambayo iliharishwa kutolewa hukumu kutokana na utata wa umri ambao sasa umethibitishwa na daktari kwamba ni mtu mzima. Kabla ya kutolewa hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, John Kayohoza alimkumbusha mshtakiwa shtaka lililokuwa linamkabili la kubaka kwamba alitenda kosa hilo Juni 30, 2018 nyakati za jioni Kijiji cha Maburi eneo la Mlima Ujerumani,akilinda shamba kuzuia wanyama waharibifu kwa kumbaka Munira Frahimu(7). Binti huyo,ambaye anamuita mshtakiwa mjomba, alimbaka na kumsababishia maumi vu makali sehemu za siri baada ya kufanyiwa ukatili huo,alijikokota kwenda kwa bibi yake anapoishi na kumweleza mjomba m...

Jafo:Wahitimu 2019 wanaotaka kubadili Tahasusi au kozi ruksa. Kuhusu selection kidato cha nne 2019

Image
Serikali imetoa fursa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne mwaka 2019 na wanaotegemea kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo kwa mwaka 2020 kubadilisha Tahasusi(Combination) au kozi ,kuanzia 25 Machi 2020 hadi tarehe 19 April ,2020 kabla zoezi ya kuwapangia shule na vyuo kuanza. Akitoa taarifa kwa vyombo vya Habari Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo Zoezi hili la kujaza Tahasusi na kuchagua vyuo limeanza kutekelezwa mwaka jana na hii ni mara ya pili kufanyika ambalo linafanywa kwa njia ya mtandao,na linafanyika kabla ya kuwapangia vyuo au shule (Selection). Ukiwa kwenye internet, fungua kivinjari chako (browser mfano, chrome), andika anuani ifuatayo selform.tamisemi.go.tz kupata dirisha la kujaza taarifa zako za kujisajili. Waziri amesema kabla ya uamuzi huo wanafunzi wengi wamekuwa wakikosa nafasi za masomo kwasababu tu tahasusi au kozi walizochagua kabla ya matokeo zote zimekataa hivyo utaratibu huu mpya walioutoa ...

Mikopo kutangaza biashara mtandaoni yazinduliwa Tanzania

Image
Kifaa cha TEHAMA Ni kampuni ya GrowthBond ambayo imeingia Tanzania kutoa mikopo na mitaji kwa ajili kuzitangaza biashara ndogo ndogo. Inatoa mikopo kuanzia Sh200,000 hadi Sh115 milioni. Pia inatoa ushauri wa masoko na matangazo kwa biashara zinazochipukia. Dar es Salaam.  Wamiliki wa biashara ndogo ndogo wenye ndoto za kujitanua na kuwafikia watu wengi hasa mtandaoni, sasa wana kila sababu ya kutabasamu kwa sababu mitaji ya kijitangaza inaweza kuwafikia popote walipo Tanzania.  Kampuni ya GrowthBond  inayotoa mitaji na mikopo kwa biashara ndogo ndogo za nchi za Afrika kuendesha shughuli za masoko mtandaoni imeingia nchini Tanzania ikiwa ni hatua ya kujitanua zaidi kwa wafanyabiashara wenye nia ya kuyafikia masoko wasiyoweza kuyafikia kirahisi. Meneja Mawasaliano wa kampuni hiyo Arina Zhukova ameuambia mtandao huu) kuwa wamezifikia nchi nne za za Afrika za Nigeria, Kenya, Tanzania na Gambia mwaka mmoja uliopita na wamezisaidia kampuni takriban 1,000. ...

HAKI YA KUNAKILI NA HAKIMILIKI

MADA: *HAKI YA KUNAKILI NA HAKIMILIKI* Wapendwa, karibuni sana katika somo letu la Nane ambalo linahusu Haki ya Kunakili na Hakimiliki. Katika vitabu na machapisho ya kitaaluma, mara nyingi kuna namna tatu ya kurejelea jambo hilo. Wengine huita *Hakimiliki,* wengine huita *Haki ya Kunakili* na wengine huita *Hatilinzi* (hasa Wakenya). Pamoja na maneno hayo kutumika kama yenye maana moja, lakini *Hakimiliki* tofauti na hayo mengine mawili, lenyewe linasisitiza zaidi *nani mmiliki wa kitabu au chapisho husika.* Katika vitabu, Hakimiliki huwa inaoneshwa kwa alama hii 👉🏾 ©️ *Haki ya kunakili au Hatilinzi* maana yake nini hasa? Bila kutumia maneno ya kuzunguka wala maneno ya kitaalamu, hapa kinachorejelewa ni kwamba kitabu ni mali ya mtu fulani na hivyo, *Haki ya Kunakili* ni maelezo au ufafanuzi wa mmiliki wa kitabu au chapisho kwa msomaji, kuhusiana na kiasi au kiwango cha uhuru alionao msomaji katika kunufaika na kitabu husika. Kwa hiyo, msomaji anapewa ufafanuzi mfupi kuhusi...

Make money with Adsterra Review : Is It The Best CPM Ad Network ? (Payment Proof Included

Image
Like every other blogger, I also started Blogging after seeing the screenshots of Adsense accounts of few bloggers. The thing that came up straight to mind was that Blogging is equal to easy money, but I was proven wrong just in few months. After many disapproval, I got approved by Adsense through which I made 95$ in the first month, but instead of sending me payment Google sent me a mail saying that “Your account has been Disabled.” Now, this was the worst thing happened to me. After getting disabled by Adsense, I thought of moving off with other Ad Networks. Before I got approved by Adsense, I was using Revenuehits, but it wasn’t paying well. So after getting kicked by Google, I somehow got to know about Adsterra. I applied for Adsterra and got approved on 19 September 2016 for my first ever blog (Pakistannn.com). Since then I started using Adsterra on my blog. As I am still a newbie blogger, therefore, I had a ve...