Posts

Showing posts from June, 2019

NADHARIA YA TENDO UNENI pdf

masshele Swahili Nadharia ya tendo uneni ina matumizi ya kila siku katika mazungumzo yetu. Kwa kutumia mifano ya kutosha jadili nadharia hiyo. 1.0 Utangulizi. Swali limegawanywa katika sehemu tatu, ambazo ni utangulizi, kiini na hitimisho. Katika utangulizi imetolewa maana ya tendoneni na aina ya tendoneni, hatua, masharti ya tendouneni, katika kiini imelezwa matumizi ya tendoneni, na mwisho ni hitimisho. 1.1 Fasili za Dhana za Msingi katika Swali; Baktir (2011) anafasili tendouneni is an influential theory on the actual communicative funtion of language and tries to answer to what extent impartial interaction is possible between speakers. Tendouneni ni matendo yafanyikayo baada ya msikilizaji kuitika kauli iliyosemwa na msemaji (tafsiri yetu) fasili hii haitofautiani sana na fasili ya Resani (2014) anaye fasili kuwa ni tendo linalofanywa kulingana na tamko. Kwaujumla tendouneni ni tendo au ule mwitiko ufanywao na msikilizaji baada ya tamko kutoka kwa msemaji. 1.2 Historia ya...

Facebook yajipanga kuunda bodi huru kusimamia maudhui

Image
Facebook yajipanga kujiweka kando kusimamia maudhui ya watumiaji wake. Picha|Mtandao. Bodi hiyo itakuwa na wataalam mbalimbali kwa ajili ya kufuatilia maamuzi ya uhariri wa maudhui ya mtandao huo. Huenda itasaidia kupatikana kwa haki za watumiaji kutokana na kesi mbalimbali zinazohusu maudhui. Huenda watumiaji wa mtandao wa Facebook wakapata haki katika maamuzi ya kesi zinazohusiana na maudhui ya mtandao huo baada ya kuwepo kwa mipango ya kuundwa kwa bodi huru itakayokuwa inafuatilia uhariri wa maudhui ya mtandao huo.  Mpango huo unakuja wakati Facebook ikikabiliwa na shutuma mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya taarifa za watumiaji wake lakini kuwepo kwa maudhui yanayohamasisha chuki na uhasama katika jamii.  Mtandao huo, ulioanzishwa na kuongozwa na raia wa Marekani, Mark Zuckerberg utatumia miezi sita kuunda bodi hiyo ambayo inaweza kutoa mfumo mpya kwa ajili ya kufungua kanuni na njia mpya kwa watumiaji kukata rufaa dhidi ya maamuzi ya uhariri. Bodi h...

NAFASI ZA KAZI: SALES OFFICERS 30 AT EMPOWER LTD

Image
30 Sales Officers Type: Full Time Deadline: 08th July, 2019 Category: Sales Location: – Other Categories: Agriculture , Energy & Utilities Job Level: Junior Roles and Responsibilities We are looking for a candidate with current knowledge of both local and regional market dynamics. Going out to the market and developing sales leads for our products. Schedule and follow through on leads Communicate with farmers on different farming solutions Prioritize and/or escalate lead and customer questions as needed. Advise on appropriate purchase options where needed. Promote specific products as directed by upper management. Maintain positive business and customer relationships in the effort to extend customer lifetime value. Sales of company’s farming products to different target groups Develop strategies for more effective sales, both individually and as part of a team. Track all appointments, sales, complaints, status reports, etc. thoroughly for manager review. Meet a...

NAFASI ZA KAZI BENKI YA TIB: PROCUREMENT & SUPPLIES OFFICER

Image
TIB Development Bank Limited is Development Finance Institutions (DFI) wholly owned by the Government of United Republic of Tanzania. The bank has been established and exists under the Companies Act, 2002. The main focus of TIB Development Bank as a premier national DFI is on national projects that aim at the attainment of the Tanzanian Development Vision 2025. The bank’s mandate is to support the Government in achieving rapid economic growth through the development of industries, infrastructure, services sectors, as well as oil and gas sectors. In this regard, activities of TIB Development Bank have specifically expanded and the bank now invites suitable, qualified and skilled applicants to fill the vacant positions:- PROCUREMENT AND SUPPLIES OFFICERS  (2 POSITION) Nature and Scope The successful candidate will report to Head of Procurement Management. He/she will be responsible for ensuring that all procurement are carried out in line with the Public Procure...

LEARNG KISWAHILI EASY , JIFUNZE KISWAHILI

GENERAL COMMENTS REGARDING THE KISWAHILI GRAMMAR info.masshele@gmail.com PRONUNCIATIONS Kiswahili language is among the easiest language to learn over the worlds languages. This is due the fact that, you pronounce a word as you write it. This is contrary to Indo-European languages such as German, English and French to mention just a few whose pronunciations are quite different from how they are written. Kiswahili Vowels and Consonants (a) Vowels: Vowels are five by number including /a/, /e/, /i/, /o/, /u/. These vowels are pronounced distinctly and clearly, regardless of the position they take. A vowel is a syllable that means the utterance you make when articulating a word. In Kiswahili, stress (which is underlying realised as accent) is on the last syllable by one. As you articulate a word, you node your head at the end of a syllable. Otherwise, you will ask a question. This is because in this language, the same construction can be a statement or question - depending where t...

UKO MBALI NA MPENZI WAKO ? ZINGATIA HAYA

Image
K ARIBU  mpenzi msomaji wa Mahaba Exlusive kwa ajili ya mada hii mujarabu inayozungumzia namna bora ya kuweza kudumisha uhusiano wa mbali wa kimapenzi (distance relationship) kwa wapenzi wanaoishi mbalimbali.  Ni sehemu ndogo sana ya wapenzi wanaoishi mbalimbali ambao hudumu kwenye uhusiano wao kwa muda mrefu. Hiki kinaonekana kuwa ni  kitendawili kigumu sana kwa wapenzi wengi kuvumiliana kwenye uhusiano bila kusalitiana. Ninapozungumzia umbali ninamaanisha wilaya na wilaya, wilaya na mkoa au mkoa na mkoa au nchi na nchi au bara na bara. Ninaamini miongoni mwetu ama tumeshuhudia au kusikia au kuona au kuadithiwa kuwa kuna mwanaume au mwanamke ambaye alikuwa na mpenzi, mara mpenzi wake akapata nafasi ya kwenda kusoma mkoa mwingine au nchi nyingine, lakini mwisho wa siku ukasikia wapenzi wale wameachana baada ya mmoja kupata mpenzi mwingine huko aliko. Inawezekana mpenzi wako alihamishwa kikazi nje ya wilaya uliyopo, lakini mwisho wa siku ukabaini kuwa mwenzi...

Ajali ya UA mmoja Njombe na kujeruhi 22

Image
Na Amiri kilagalila-Njombe Gari la Abiria (Ibbu Trans) lenye namba za usajili T 225 DGF, Mitsubish Rosa linalofanya safari zake kutoka Njombe kuelekea wilayani Ludewa limepata ajali katika eneo la daraja la muholo wilayani Ludewa na kusababisha kifo cha mtu mmoja. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe RPC Salumu Hamduni, amesema kuwa Ajali hiyo ilitokea Jana june 24/2019 majira ya saa Moja jioni, na Gari hilo lilikuwa likiendeshwa na Dereva aliyefahamika kwa jina moja la Chance ambae baada ya ajali alikimbia na juhudi za kumtafuta zinaendelea. Amesema kuwa uchunguzi umebaini kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa dereva ambae alishindwa kulimiliki gari na kuacha njia kisha kugonga gema na Kusababisha kifo cha mtoto mwenye umri wa miezi minne aliyefahamika kwa jina la Alvin Yohana Mtitu na Abiria 22 wamejeruhiwa. Siku chache zilizopita Gari la Kampuni hiyo  linalofanya safari  kutoka kijiji cha Luvuyo wilayani Ludewa kuelekea Njombe mjini, lilipata Ajali na kupind...

AUDIO | Diamond Platnumz - Kanyaga | Download

Image
DOWNLOAD

NAFASI ZA KAZI 32 NATIONAL RANCHING COMPANY LTD (NARCO)

Image
The National Ranching Company Limited (NARCO) is a parastatal organization | under the Ministry of Livestock and Fisheries responsible for large scale commercial j ranching in the country. The Headquarters of the Company has been relocated from Dar es Salaam to Dodoma and the transfer was concluded at the end of February. 2019. NARCO, the producers of the world-class KONGWA BEEF, has extensive investments in S regions of mainland Tanzania. The Company is currently undergoing rapid transformation intended to create an efficient and vibrant commercial entity that will contribute very positively to the commercial development of the country’s livestock industry. The Company is seeking to recruit dedicated and competent staff in the following junior positions. FIELD OFFICER GRADE I – (3 Posts) Duty Station – NARCO Ranches and Headquarters Reports to – Ranch Manager / Production and Operations Manager.A DUTIES AND RESPONSIBILITIES The successful candidate mil be required to p...