ALAF ILIVYOWANEEMESHA WANAFUNZI UDSM LEO

Katika juhudi za kukuza na kuendeleza lugha ya kiswahili zinazofanywa na kampuni ya mabati ya Alaf, Kampuni hiyo kwa kushirikiana na taasisi ya taaluma za kiswahili iliahidi kutoka fursa za kuwafadhili wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya kiswahili kwa shahada ya kwanza kuendelea na shahada ya pili, ambapo ahadi hiyo imetimizwa Leo katika hafla fupi. Mengi katika video


Video CC. Global TV

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?