Kaburi la aina yake la miaka 4,400 lagunduliwa Misri



Wana akiolojia wamefanya ugunduzi usio wa kawaida - kaburi la kasisi mmoja ambayo halijapatikana kwa miaka 4,400.

Mostafa Waziri, katibu kwenye baraza linalohusika na maeneo ya kale alitaja ugunduzi huo kama wa aina yake kwa miaka mingi iliyopita.


Kaburi hilo ambalo liligunduliwa eneo linalojulikana kama Saqqara pyramid complex mjini Cairo lina sanamu za Firauni.

Wana akiolojia wataanza kulichimba kaburi hilo leo na wanatarajia kufanya ugunduzi zaidi baadaye ukiwemo mwili wa aliyezikwa humo.

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?