MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA

ILIPOISHIA


"Eddy twende kitandani mpenzi"

Tukafika kitandani kama kawaida yake Mama Fatuma akanisukumia kitandani


ENDELEA

Akapanda kitandani kwa madaha huku akitoa pumzi zilizo zidi kunisisimua mwili wangu.Akaushika mguu wangu wa kushoto na taratibu akaanza kunyonya vidole vyangu vya miguuni nikawa kama mtu mwenye kifafa kwa jinsi ya mtekenyo ninao upata

Mama Fatuma aliendelea kuninyonya vidole vya miguu huku akichezea chezea vitenesi vyangu huku kiganja chake kikitawala kila kona ya koki yangu na kuifanya kama kishikizo cha gia ya gari huku akiizungusha pande zote za dunia.Mama Juma akaniachia na kushuka kitandani

"Una kwenda wapi sasa?"

Nilizungumza huku nikiwa ninahema kama bata mzinga dume aliye choshwa kwa kumkimbiza bata jike

"Usiwe na haraka baby"

Akafungua kwenye kabati langu la vyombo na kutoa kisosi kisha akamimina maji kiasi yasiyoweza kumwagika kisha akarudi nacho kitandani

"Ehee"

Nilizungumza huku nikijaribu kujinyanyua kitandani ila akanirudisha kwa kunisukuma

"Baba tulia"

Akaipanua miguu yangu na kuniomba kiuno changu nikiweke juu ya mto.Nikafanya hivyo haraka kisha nikaikunja miguu yangu huku ikiwa inatazama juu

Ubaridi wa raha kali ulio tokea kwenye vitenese vyangu ukanifanya nitoe mguno kwa sauti ya juu huku nikitafuta mto nijizibe mdomoni kwani nilihisi sauti yangu itasikika kwa nje na tayari ni usiku wa manane

Vitenesi vyangu nikahisi vinaelea elea juu ya kisosi huku vikiwa vinajaribu kupiga mbizi juu ya kisosi hicho


Nilizidi kupiga makelele.Nikastukia koki yangu ikiingizwa mdomoni mwake huku ikiwa inazungukwa na ulimi wake huku mate yake yakiwa yamejaa mdomoni mwake

Akanitoa mto nilio uziba mdomoni mwangu kisha akaniomba niutoe mto nilio uwekea kiuno changu.Taratibu akanza kuninyonya masikio yangu hadi nikawa ninahijihisi nipo katika ulimwengu mwengine wenye raha za kupindukia

Akaishika koki yangu kisha taratibu na kuikalia.Joto kali la ikulu yake likazidi kunipagawisha na kunifanya nizidi kupagawa kwa raha za mama Fatuma ambaye sikujua amenipangia kunikomoa au laa

Huku mikono yake akiwa ameikita kifuani mwangu akazidi kukichezesha kiuno chake huku akiipelea koki yangu katika zile pande kuu za duni pasipo kujali kama itaweza kuvunjika

Akaiweka mikono yangu na kunishikisha kiuno chake chenye shanga huku kikiwa na uwembamba kiasi japo kimefungasha mapaja makubwa pamoja na mzigo mkubwa wa makalio


Kama nyati mwenye hasira kali mama Fatuma alinyanyuka na kupiga magoti kama mtoto ayaye tambaa

"Njoo kwa nyuma"

Nikamshikilia kiuno chake huku nami nikiwa nimepiga magoti na kuifikia vizuri ikulu yake na kuanza kumpa kufanya shughuli iliyo niweka nyuma ya kiuno hicho kizuri.Mama Fatuma akanizidi uwezo wa kukishikilia kiuno changu na kujikuta mikono yangu nimeirudisha kwa nyuma huku akiwa ameikalia vizuri majani huku nikiwa nimeikunja miguu yangu

Mama Fatuma hakusita kupiga kelele kutokana na kupagawa na utamu wa koki yangu.Kusema ukweli Mama Fatuma alinizidi kwa kila kitu katika kitanda changu

Sote tukajilaza kitandanh huku tukiwa tumechoka kwani kwa mkiki mkiki alio nikimbiza mama Fatuma nilihisi kama nimefanya kazi ya kubeba vifuko vya saruji vya kilo 50


"Eddy"

"Naam"

"Unajisikiaje?"

"Ahaa hapa nilipo nipo hoi nahisi nitalala kama pono"

"Alafu unaonekana mgeni kwenye haya mambo ehee"

"Wala nisikufiche kweli mimi ni mgeni katika haya mambo"

"Ila ukijitahidi utakuwa balaa"

"Mama Fatuma nikuulize swali?"

"Niulize tu mahabuba wangu"

"Umeolewa?"

"Hapana ila nilizalishwa tu mtoto mmoja"

Tukazungumza mambo mengi na Mama Fatuma na kuniadisia historia ya maisha yake hadi alipo fikia

"Eddy twende round nyingine?"

"Hapana baby hapa nilipo nahisi magoti yangu hayana nguvu kabisa"

"Basi pumzika"


Nikazima tv yangu pamoja na redio kisha nikaligeuzia feni langu kitandani likaanza kutupepea taratibu hadi usingizi mzito ukanichukua.Asubuhi na mapema Mama Fatuma akaniamsha kwa mabusu huku akiniingiza ulimi sikioni mwangu

"Kumekucha babaangu"

Mama Fatuma alizungumza huku akinipapasa kwenye mpaja yangu na kusababisha koki yangu kusimama

Mama Fety akajinyanyua kiuvivu kisha akaikalia koki yangu na taratibu akaanza kunipa raha za kama usiku huku akitoa vilio vya raha

Safari hii nikawa nimesha anza kuizoea michezo hiyo ya wakubwa.Nikamuweka Mama Fatuma mkao wa kifo cha mende na kuanza kumpelekea moto ulio mfanya hadi azungumze lugha ambayo sikuwahi kuisikia kwani ina utamkaji tofauti wa maneno ya kiswahili

Mama Fatuma akazidi kutoa kelele za raha.Tukafikia tamati huku kila mmoja akimsifia mwenzake kwa kazi hiyo ngumu


"Eddy nikuulize swali?"

"Niulize?"

"Mbona safari hii umekuwa kama chatu mwenye hasira kali?"

"Sijakuelewa?"

"Yaani ulikuwa unanipelekea moto hadi nikawa nahisi unakivunja kizazi changu na huo mkao ulio niweka sikuweza hata kukurupuka"

"Mmm pole"

"Usigune Eddy yaani hapa najihisi kizungu zungu.Naogopa kushuka hata hapo kitandani nahisi mitaanguka"

Nikapata furaha kimoyo moyo huku nikijipongeza kwa kazi nzito na umahiri nilio uonyesha kwa Mama Fatuma.

Mama Fatuma akafamnya usafi chumbani kwangu kisha tukaingia bafuni na kuoga

"Baby ngoja nikakuandalie chai nyumbani kwangu kisha nitakuja tunywe sote"

"Ok baby"

Mama Fatuma akatoka na kuniacha nimejilaza kwenye sofa.Hazikupita dakika nyingi nikasikia mngurumo wa gari ukisimama nje kwangu

Nikanyanyuka na kwenda kuchungulia dirishani,Nikamuona Rahma akishuka ndani ya gari hilo la kifahari aina ya VX G8 na kuja eneo la mlango wangu

Moyo ukazidi kwenda mbio pale Rahma alipo gonga mlango wangu wa chumbani


 ITAENDELEA