Zitto :NECTA hawana rekodi ya Albert Bashite wala Paul Makonda

Zitto: NECTA Limesema hawana rekodi ya Albert Bashite wala Paul Makonda




Tumejulishwa kwenye Kamati kuwa NECTA hawana rekodi ya Albert Bashite wala Paul Makonda.

Yani wote hawapo kwenye kanzidata ya Baraza la Mitihani. Kwamba Tanzania haijawahi kuwa na wanafunzi wenye majina hayo




NECTA itaweka wazi uhakiki wa vyeti vya Elimu ya Watumishi wa Umma wote tarehe 30 April, 2017 


Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?