Raisi magufuli ateuwa waziri mpya wa Habari ,sanaa utamaduni na michezo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuliamefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.
Comments
Post a Comment