Mtanzania Millard Ayo Achaguliwa na CUF

Mtangazaji wa Clods media na mmiliki wa AYO TV ameteuliwa na CUF kuwa kati ya watangazaji watakao ripoti michuano ya Afcon live kutoka uwanjani,  tunaweza kusema ni bahati ya Tanzania kwa mara nyingine baada ya Diamond platnmz kuteuliwa kutumbuiza katika mashindano hayo kila la kheri Millard ayo kumbuka pia michuano hiyo kila tokeo utalipata hapahapa katika blog hii


Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?