Jina langu ni Koome, maisha yangu hayakuwa rahisi, wazazi wangu wote walifariki nilipokuwa msichana mdogo na nilienda kuishi na shangazi yangu, shangaza pia hakuwa tajiri na hakuweza hata kunipeleka chuoni baada ya shule ya upili.

Kwa hivyo nilianza kwenda kwenye saluni kupata mafunzo na pia kupata ujuzi ambao utanisaidia kupata fedha, miezi sita baadaye, nilimaliza na mafunzo lakini sikuweza kupata fedha nyingi za kuweza kunisaidia kujikwamua kimaisha. 

Ilifika hatua shangazi yangu akanitaka niondoke nyumbani kwake kwa kuwa nilikuwa mtu mzima, kuishi peke yangu ilikuwa ngumu sana sembuse nilikuwa sina kazi. 

Niliamua kwenda kijijini na kukaa huko, baada ya miezi miwili nikiwa bado kijijini na Bibi yangu, kulikuwa na shughuli ya mahali iliyofanyika katika nyumba ya jirani ambapo binti wa nyumba hiyo alikuwa amepata mume mzuri na tajiri wa kumuoa.

Wakati tu nilipomuona mtu huyo akiingia, nilijua mara moja kuwa alikuwa tajiri kweli, magari yalijaza kiwanja hicho na alilipiwa kiasi kikubwa sana cha mahari. Baada ya sherehe, nilimuuliza ni vipi alipa bahati kupata mtu tajiri kama huyo na kweli akafunguka juu ya siri hiyo.

 Alisema alikuwa akiishi maisha ya kusikitisha lakini alimtembelea African Doctors ambaye alitumia dawa zake kumuunganisha na tajiri huyo. 

Nilimuomba anipe namba ya African Doctors  ili nami nipate tajiri mzuri wa kunioa, alinipa mawasiliano hayo na mara moja nikampigia na kuzungumza naye, siku iliyofuata nilienda ofisini kwake na kuzungumza naye, aliweza kunifanyia tiba zake na kuniahidi nitafanikiwa. 

Siku mbili baadaye nilipokuwa kwenye ukurasa wangu wa Facebook, mwanaume kwa jina Muli, alinizimia na kuanza kunitongoza, tuliweza kukuta na uhusiano wetu ukaanza mara moja, kwa muda wote amekuwa akihudumia chochote kile ninachotaka. 

Sasa ni mwaka wa pili tangu tumefunga ndoa na tunaisha vizuri tu, maisha ni mazuri na yenye furaha na tayari tumejaliwa kupata mtoto mmoja. 

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com