Upinzani Kenya yamtaja atakayeshindana na Rais Kenyatta kwenye Uchaguzi Mkuu

Upinzani Kenya yamtaja atakayeshindana na Rais Kenyatta kwenye Uchaguzi Mkuu

Muungano wa Vyama vya Upinzani nchi Kenya NASA umemtangaza mwanasiasa mkongwe nchini humo Raila Odinga kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa nchini kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika August 8 mwaka huu.

Aidha, NASA imemtangaza Kalonzo Musokya kuwa mgombea-mwenza

Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?