Diamondi ashinda tuzo nyingine Nigeria

Mtanzania Diamond Platnumz ametangazwa kushinda tuzo ya Msanii bora wa Afrika wa mwaka 2016,tuzo hizi pia zimeenda kwa Mastaa wengine kama Wizkid ambaye ameshinda tuzo ya Msanii bora wa mwaka,Kiss Daniel,Ycee na wengine wengi,nimeipata list ya baadhi ya washindi kwenye tuzo hizo zilizotolewa na Africa Music Entertainment ya Nigeria.




Comments

Popular posts from this blog

HIZI HAPA SMS TAMU ZA KUMTAKIA USIKU MWEMA MPENZI WAKO

SMS na MESEJI 900+ za mapenzi

MIAKA 22 SASA TANGU KUZAMA KWA MELI KUBWA YA MV BUKOBA, TANZANI TUMEJIFUNZA NINI?