Naitwa Vitusi, nina miaka 30 nipo Mwanza, Tanzania, nilikuwa na mahusiano na mdada mmoja hivi, tangu mwaka 2016, tulipenda sana na kuaidia mambo mengi siku za mbeleni.  

Kipindi hicho yeye alikuwa mwanafunzi, kwa hiyo sikutaka kuharibu malengo yake sikuwahi kumuuliza wala kumtaka kimwili mpaka akamaliza shule ndio tukakutana 2017.

Kuanzia hapo tulipendana sana mpaka tukatambulishana nyumbani, yaani mahusiano yetu mpaka wazazi walikua wanafahamu, kusema kweli ilikuwa furaha sana kwangu. 

Matokeo ya kidato cha nne yalipotoka akaenda chuo Dar es Salaam na mimi nikabaki Kigoma nikiendelea na mishe mishe za utafutaji huku tukiwasiliana kwenye simu kila siku.

Kiukweli nilimjali sana, nilimtumia hela ya matumizi kila mwezi, kila kitu kilichokuwa ndani ya uwezo wangu, nilimpa. Sikutaka akose chochote, hata wazazi wake walipopungukiwa kwenye ada, mimi niliongezea pale wazee walipopungukiwa.

Hiyo ikafanya kwao wanipende mno, nilitoa msaada kwao na mtoto pia, shida ilikuja 2020, alipata ujauzito, kiukweli hakutaka kwao wafahamu, tuliweka siri mpaka akajifungua ndio tukafikisha taarifa nyumbani. 

Kwa bahati nzuri alijifungua mwezi wa kwanza baada ya kuhitimu chuo, kwao walikua wakali ila badae walielewa wakatulia. Nikampa mtoto jina la mama yangu, misha yakaendelea na kwao waliamini nitamuoa. 

Kwa bahati mbaya miezi miwili baadaye mama yangu alifaliki, kwa hiyo mambo yakazidi kuwa magumu kwangu, nikajikuta nasogeza mbele suala la ndoa na yule binti ili nikae sawa na tujipange vizuri.

Wakati mimi ndio nakamilisha mambo yangu taratibu akaanza kubadilika akawa ananifanyia visa ilimradi tuachene tu, suala la ndoa akawa halitaki tena.

Kiukweli mara kadhaa niliwahusisha ndugu zake ila wakawa wananipa tu moyo wakasema mimi ndio mkwe wao hakuna mwingine. Mtoto akatimiza mwaka, yule mwanamke akiwa bado hataki kufunga ndoa na mimi.

Mwanaume niliendelea kumhudumia mtoto, nilimpenda sana mwanangu, atake nini nisimpe? jina lake lilinikumbusha marehemu mama yangu.

Sasa ikawa tunasumbua sana kwenye masuala ya hela, yaani kila mwezi nilikuwa natuma pesa ya matumizi na siku za sikukuu mwanangu hakosi nguo mpya, ilikua natuma pesa mpaka muda mwingine nilihisi ananikomoa. 

Hali ile ilinichosha sana, siku moja nikiwa nasoma magazeti nikapata habari kuwa  Kiwanga Doctors anasuluhisha migogoro ya kifamilia, nilichukua namba yake ambayo ni +254 769 404965 na kuwasiliana naye. 

Nilimueleza shida zangu zote za kimahusiano na kunisaidia kwa kupitia dawa zake za mitishamba, baada ya siku mbili yule mpenzi wangu alinipigia simu na kuniomba msamaha kwa yote yalitokea. Kwa sasa tumefunga ndoa na maisha yetu na mtoto wetu yanaendelea vizuri. 

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto. 

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache. 

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake. 

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.